Janet Mumbi

SHILINGI MILIONI 5 ZATENGWA KATIKA BAJETI YA ZIADA KWENYE BUNGE LA KAUNTI YA KILIFI

Jumla ya shilingi milioni 5 zimetengwa katika bajeti ya ziada kwenye bunge la kaunti ya Kilifi, ili kufadhili masomo ya wanafunzi katika wadi mbalimbali za kaunti ya Kilifi. Haya ni kulingana na mwakilishi wa wadi ya Ganda eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi, Oscar Wanje ambaye amesema ugavi wa fedha hizo kwa wanafunzi wenye […]

SHILINGI MILIONI 5 ZATENGWA KATIKA BAJETI YA ZIADA KWENYE BUNGE LA KAUNTI YA KILIFI Read More »

KARIM MANDONGA KUSHIRIKI KATIKA PAMBANO LA KWANZA MAARUFU KENYA

Bondia maarufu kutoka taifa jirani la Tanzania mwite Karim Mandonga ameeleza matumaini yake kwamba atapokelewa kwa heshima kuu na rais wa taifa la Kenya William Samoei Ruto atakaposhuka katika uwanja wa ndege. Mandonga anatarajiwa kushuka ulingoni dhidi ya bondia Daniel Wanyonyi katika ukumbi wa KICC Tsavo Ballroom mjini Nairobi wikendi ijayo siku ya Jumamosi tarehe

KARIM MANDONGA KUSHIRIKI KATIKA PAMBANO LA KWANZA MAARUFU KENYA Read More »

TUKO TAYARI KWA DABI YA MALINDI – BERNARD LUSI

Klabu ya Progressive Academy inazidisha mazoezi yake kujiimarisha kwa mechi ya wikendi ambapo watakuwa wanavaana na mahasimu wao Young Bulls katika dadi ya kaunti ya Kilifi ambayo imeratibiwa kurindimwa siku ya jumapili katika dimba la shule ya upili ya wavulana ya Malindi. Akizungumza na Tama la spoti mapema leo baada ya mazoezi uwanjani Alaskan Bernard

TUKO TAYARI KWA DABI YA MALINDI – BERNARD LUSI Read More »