SHILINGI MILIONI 5 ZATENGWA KATIKA BAJETI YA ZIADA KWENYE BUNGE LA KAUNTI YA KILIFI
Jumla ya shilingi milioni 5 zimetengwa katika bajeti ya ziada kwenye bunge la kaunti ya Kilifi, ili kufadhili masomo ya wanafunzi katika wadi mbalimbali za kaunti ya Kilifi. Haya ni kulingana na mwakilishi wa wadi ya Ganda eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi, Oscar Wanje ambaye amesema ugavi wa fedha hizo kwa wanafunzi wenye […]
SHILINGI MILIONI 5 ZATENGWA KATIKA BAJETI YA ZIADA KWENYE BUNGE LA KAUNTI YA KILIFI Read More »



