Paps Mkare

MAAFISA WA CDF WANAOJIHUSISHA NA UFISADI WALAUMIWA KWA KUCHANGIA KWA WANAFUNZI KUKOSA MSAADA WA MASOMO

Mbunge wa Voi kaunti ya Taita Taveta Hamisi Chome amewataka maafisa wa hazina ya ustawishaji wa maeneo bunge nchini CDF kukoma kujihusisha na visa vya ufisadi kwani unachangia kwa wanafunzi kukosa msaada wa masomo. Hamisi Chome amesema atahakikisha hazina hiyo inafanya kazi kama inavyopaswa ili wanafunzi waweze kuendeleza masomo yao bila changamoto zozote. Akizungumza kwenye

MAAFISA WA CDF WANAOJIHUSISHA NA UFISADI WALAUMIWA KWA KUCHANGIA KWA WANAFUNZI KUKOSA MSAADA WA MASOMO Read More »

SERIKALI YA KAUNTI YA LAMU YATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUWEZESHA WENYEJI WA WADI KUPATA MAJI SAFI YA KUNYWA

Himizo limetolewa kwa serikali ya kaunti ya Lamu kuweka mikakati ambayo itawawezesha wenyeji wa Wadi ya Kiunga kupata maji safi ya kunywa. Kulingana na Naibu kamishna wa eneo hilo la Kiunga Kennedy Mrima wenyeji wa eneo hilo wanakabiliwa na uhaba wa maji. Amesema ukosefu wa Mvua katika eneo hilo kumechangia kwa wenyeji kukabiliwa na hali

SERIKALI YA KAUNTI YA LAMU YATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUWEZESHA WENYEJI WA WADI KUPATA MAJI SAFI YA KUNYWA Read More »