UKOSEFU WA AMBULENSI WAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA WADI YA ADU
Idadi kubwa ya wakaazi wa wadi ya ADU eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi, wanaendelea kupitia changamoto kuu katika kutafuta matibabu ya dharura katika taasisi za afya zilizoko mbali na eneo hilo, kutokana na ukosefu Ambulensi. Haya ni kwa mujibu wa mwakailishi wadi hiyo Samson Zia, ambaye amesema baadhi ya wale wanaoumwa na nyoka […]
UKOSEFU WA AMBULENSI WAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA WADI YA ADU Read More »



