BADI TWALIB ATAKA NAFASI ZA KAZI KUTOKA SERIKALI KUU KUPEWA KWANZA VIJANA WA JOMVU
Mbunge wa Jomvu kaunti ya Mombasa Badi Twalib anataka nafasi za ajira katika miradi mbalimbali kwenye serikali kuu zipatiwe kwanza vijana wa eneo bunge hilo. Kulingana na Twalib lazima vijana wa eneo bunge hilo wapewe kipaumbele kwenye masuala ya ajira ili waweze kujiendeleza kimaisha. Amesema miradi kama wa Dongo Kundu na wa Reli ya Kisasa […]
BADI TWALIB ATAKA NAFASI ZA KAZI KUTOKA SERIKALI KUU KUPEWA KWANZA VIJANA WA JOMVU Read More »



