Janet Mumbi

WAKULIMA KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUJIANDAA KWA SHUGHULI ZA UPANZI

Wakulima kaunti ya Kilifi wametakiwa kupanda mimea ambayo huchukua mda mfupi kukomaa shambani, kutokana na kuwepo kwa mvua chache ambazo zinatarajiwa kushuhudiwa katika kaunti ya KIlifi. Haya ni kwa mujibu wa idara ya utabiri wa hali ya anga kaunti ya Kilifi, ambayo imeeleza kuwa ipo haja ya wakulima kushirikiana na maafisa wa kilimo nyanjani ili […]

WAKULIMA KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUJIANDAA KWA SHUGHULI ZA UPANZI Read More »

MATUMAINI YAPO YA KUFUZU KIMATAIFA – PAUL BITOK

Mkufunzi wa timu ya taifa ya mpira wa wavu ya Malkia Straikas Paul Bitok ameeleza kuridhika na hatua ya kamati ya olimpiki nchini Noc kuandaa mashindano ya michezo ya ufukweni mjini malindi kaunti ya Kilifi wikendi ilopita. Amesema hatua hiyo itasaidia kujenga vikosi vya kitaifa vitakavyowakilisha taifa hili kimataifa. Mkufunzi huyo amesema anamatumaini makubwa kwamba

MATUMAINI YAPO YA KUFUZU KIMATAIFA – PAUL BITOK Read More »