Paps Mkare

WANAWAKE WAJAWAZITO ENEO LA MAGARINI WATAKIWA KUFIKA KWENYE KLINIKO ZILIZOKO KARIBU NA MAKAZI YAO

Akina mama katika eneo bunge la Magarini kaunti ya KIlifi wametakiwa kuhakikisha kuwa wanatembelea kliniki zilizoko karibu na makaazi yao, wiki sita baada ya wao kujifungua ili kupata huduma za kupanga uzazi. Kwa mujibu wa afisa mkuu wa nyanjani katika eneo bunge hilo Florence Cherono,idadi kubwa ya akina mama wamekuwa wakisusia maagizo hayo, ambayo hutolewa

WANAWAKE WAJAWAZITO ENEO LA MAGARINI WATAKIWA KUFIKA KWENYE KLINIKO ZILIZOKO KARIBU NA MAKAZI YAO Read More »

VIONGOZI WALIOKAMATWA WAKIANDAMANA KUFIKISHWA MAHAKAMANI SIKU YA ALHAMISI

Kiongozi wa wachache katika bunge la seneti ambaye na pia seneta wa kaunti ya Kilifi, Stewart Madzayo, mbunge Opiyo Wandayi, mbunge Amina Mnyazi, mbunge Ken Chonga wanatarajiwa kufika mahakamani siku ya Alhamisi. Viongozi hao watajibu mashtaka ya kukusanyika pasipo kibali yani illegal assembly. Hii ni baada ya wabunge hao kutiwa mbaroni mapema hapo jana kabla

VIONGOZI WALIOKAMATWA WAKIANDAMANA KUFIKISHWA MAHAKAMANI SIKU YA ALHAMISI Read More »