Janet Mumbi

UHABA WA MAJI WADI YA GONGONI ENEO BUNGE LA GONGONI HUENDA UKAPATA SULUHU

Huenda wakaazi wa wadi ya Gongoni eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi wakapata suluhu la kudumu kutokana na uhaba wa maji kupitia afisi ya mwakilishi wa wadi hiyo Stephen Baya. Kulingana na kiongozi huyo, wadi hiyo imekuwa ikikabiliwa na uhaba wa maji na kuwepo kwa barabara mbovu jambo ambalo, amesema ni sharti litatuliwe katika

UHABA WA MAJI WADI YA GONGONI ENEO BUNGE LA GONGONI HUENDA UKAPATA SULUHU Read More »

WENYEJI WA KAMALE WANAENDELEA KUKABILIWA NA KIANGAZI NA BAA LA NJAA

Wenyeji wengi katika eneo la Kamale huko Hadu kaunti ndogo ya Magarini kaunti ya Kilifi wanaendelea kuathirika na baa la njaa na ukame kutokana na kiangazi ambacho kinazidi kushuhudiwa katika eneo hilo. Mmoja wa wenyeji hao, Kahindi Ndoro anasema kwa kipindi cha miaka minne hakujashuhudiwa mvua katika eneo hilo hali ambayo imeathiri shughuli za kilimo

WENYEJI WA KAMALE WANAENDELEA KUKABILIWA NA KIANGAZI NA BAA LA NJAA Read More »