MCHUNGAJI PAUL MACKENZIE AACHILIWA KWA DHAMANA
Mchungaji wa kanisa la Good News international kaunti ya Kilifi Paul Mackenzie amefikishwa katika mahakama ya Malindi kaunti ya Kilifi kwa madai ya kuhusika kwenye visa vya mauaji ya watoto wawili. Akiwa mbele ya hakimu wa mahakama hiyo Olga Onalo mahakama imearifiwa mnamo tarehe 16 na 17 mwezi wa tatu mwaka 2023 mshukiwa huyo anadaiwa […]
MCHUNGAJI PAUL MACKENZIE AACHILIWA KWA DHAMANA Read More »



