SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATENGA FEDHA ZA KUNUA VIFAA VYA MATIBABU
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro amesema serikali ya kaunti ya Kilifi imetenga fedha za kununua vifaa vya matibabu, katika hospitali ya Marafa eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Kwa mujibu wa kiongozi huyo tayari wameagiza zaidi ya vitanda 100 vya kusaidia wagonjwa, watakokuwa wakilazwa katika kutuo hicho cha afya. Kulingana na […]
SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATENGA FEDHA ZA KUNUA VIFAA VYA MATIBABU Read More »



