Paps Mkare

TUKO TAYARI KUIWAKILISHA KENYA KIMATAIFA – OLUNGA

Nahodha wa timu ya taifa ya Harambee stars Michael Olunga ameeleza kufurahishwa kwake na shirikisho la soka nchini kwa maandalizi ya mechi ya kirafiki dhidi ya Iran katika jaribio la kujipima uwezo wao katika ushuindani wa kimataifa. Harambe stars ambao mara ya mwisho kucheza mechi ya kimataifa ilikuwa mwaka 2021 dhidi ya Rwanda wamekuwa nje […]

TUKO TAYARI KUIWAKILISHA KENYA KIMATAIFA – OLUNGA Read More »

BARAZA LA CIPK KAUNTI YA TANA RIVER LAMTAKA RAILA ODINGA KUSITISHA MAANDAMANO

Viongozi wa dini ya Kiislamu katika baraza la wahubiri na maimamu CIPK kaunti ya Tana River, wamemtaka kinara wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga kusitisha maandamano ya kila Jumatatu na Alhamisi kuanzia wiki hii kupinga uongozi wa rais William Samoei Ruto. Wakiongozwa na mwenyekiti wa baraza hilo tawi la kaunti ya Tana River

BARAZA LA CIPK KAUNTI YA TANA RIVER LAMTAKA RAILA ODINGA KUSITISHA MAANDAMANO Read More »

WAUMINI WA KANISA LA METHODIST MJINI MALINDI WAPATA AFUENI

Ni afueni kwa waumini wa kanisa la Malindi Methodist mjini Malindi kaunti ya Kilifi baada kurejea katika kanisa lao lililokuwa limefungwa kwa miaka mitat kutokana na kile wanachodai kuchangiwa na uongozi mbaya wa dhehebu hilo nchini. Wakiongozwa na Askofu wa dhehebu hilo ukanda huu wa Pwani, Gambo Davis Matano ametaja suala la waumini wa dhehebu

WAUMINI WA KANISA LA METHODIST MJINI MALINDI WAPATA AFUENI Read More »