ASKOFU ANTONY MUHERIA AKOSOA AHADI HEWA ZA SERIKALI YA KENYA KWANZA.
Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Nyeri, Anthony Muheria ameitaka serikali kukoma kutoa ahadi zisizotimia na badala yake kuzamia utendakazi katika miaka miwili iliyobakia ya utawala wake. Muheria amelalamikia suala la taasisi za afya zinazo milikiwa na kanisa Kotoliki nchini Kenya, kudai serikali ya kitaifa zaidi ya shilingi milioni mia mbili hamsini, fedha ambazo […]
ASKOFU ANTONY MUHERIA AKOSOA AHADI HEWA ZA SERIKALI YA KENYA KWANZA. Read More »



