HABARI

“SIKUSHURUTISHWA KUWANIA WADHIFA WA AUC” ASEMA RAILA ODINGA.

Ni kauli ya aliyekuwa mgombea wa AUC, Raila Odinga ameweka wazi kuwa uamuzi wa kuwania wadhifa huo ulikuwa wake binafsi na wala si pendekezo la Rais William Ruto. Kwa mujibu wa Odinga, amepinga madai ya kuwa rais William Ruto, alimshauri kuwania wadhifa huo, hii ikiwa njia mojawapo ya kumuondoa nchini Kenya. Akizungumza katika ikulu ya […]

“SIKUSHURUTISHWA KUWANIA WADHIFA WA AUC” ASEMA RAILA ODINGA. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO ATANGAZA KURAHISISHA SHUGHULI ZA WATALII KUINGIA KENYA KUPITIA USAFIRI WA BAHARINI.

Rais William Ruto amesema Kenya inatazamia kuidhinishaji usafiri wa Kielektroniki, wa kuingia kwa wingi kwa watalii wa meli za kifahari katika bandari ya Mombasa. Akihutubia wanahabari katika bandari hiyo, alipokaribisha wageni zaidi ya Elfu mbili, baada ya meli ya Norwey kutia Nanga kwenye bandari ya Mombasa, rais alisisitiza dhamira ya serikali kuu kutangaza nchi hii,

RAIS WILLIAM RUTO ATANGAZA KURAHISISHA SHUGHULI ZA WATALII KUINGIA KENYA KUPITIA USAFIRI WA BAHARINI. Read More »

GACHAGWA AMUONYA RAIS WILLIAM RUTO DHIDI YA KUMHANGAISHA JAJI MKUU MARTHA KOOME.

Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, ametishia kuongoza maandamano ya kitaifa iwapo jaji mkuu nchini Martha Koome, atabanduliwa kutoka kwa wadhifa huo. Akizungumza katika kaunti ya Meru, Gachagwa amemuonya rais William Ruto, dhidi ya kumhangaisha jaji mkuu nchini Martha Koome, pamoja na viongozi wengine wa eneo la Mlima Kenya. Gachagwa ambaye amekuwa akiweka jitihada zaidi

GACHAGWA AMUONYA RAIS WILLIAM RUTO DHIDI YA KUMHANGAISHA JAJI MKUU MARTHA KOOME. Read More »