HABARI

SAMBURU LIONS KUFANYA USAJILI MSIMU HUU

Naibu mkufunzi wa klabu ya Samburu Lions Samuel Omondi anasema kuwa analenga kufanya usajili ili kuimarisha kikosi chake ili kumaliza msimu huu katika kiwango bora. Omondi anasema anapolenga sana kufanya usajili ni eneo la mashambulizi huku akisema tayari yuko na baadhi ya wachezaji ambao anajiandaa kuwaweka kwenye orodha ya kikosi chake. Ameeleza matumaini makubwa kuwa

SAMBURU LIONS KUFANYA USAJILI MSIMU HUU Read More »

FOREST YASELELEA FA

Klabu ya Nottingham Forest imefuzu kwenye hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Emirates FA Cup, wakiwabandua Ipswich kwenye Kinyang’anyiro Hicho kupitia mikwaju ya Penalty, baada ya Kutoka Sare kwenye Muda wa Kawaida. Kufuatia Ushindi Huo Nottinghama Forest sasa wataekeana Miadi Na Brighton, Manchester City dhidi Bournmouth, Preston Dhidi ya Aston Villa, Huku Fulham waliowabandua

FOREST YASELELEA FA Read More »