HABARI

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YAOMBWA KUWAWEKA KWENYE MPANGO WA MALIPO WAKUNGA WA VIJININI

Serikali ya kaunti ya Kilifi imeombwa kuwaweka kwenye mpango wa malipo wakunga wa vijijini wanaotoa huduma muhimu kwa wanawake wajawazito mashinani. Kwa mujibu na Philomena John ambaye ni mkunga kutoka eneo bunge la Magarini kaunti ya kilifi, maeneo yaliyo mbali na hospitali wanawake wamekuwa wakitegemea huduma za haraka kutoka kwa wakunga. Philomena amesema hatua hiyo […]

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YAOMBWA KUWAWEKA KWENYE MPANGO WA MALIPO WAKUNGA WA VIJININI Read More »

UKATAJI WA MITI KIHOLELA INACHANGIA KUHARIBU MAZINGIRA KANDA YA PWANI

Ukataji miti kwa minajili ya kutengeneza makaa ili kujikimu kimaisha umetajwa kuchangia uharibifu wa mazingira ukanda huu wa pwani. Haya ni kwa mujibu wa mwakilishi wa vijana katika baraza la wazee wa kaya ukanda wa pwani, Nguma Charo Kenga ambaye amesema ukataji huo wa miti unaharibu mazingira. Kenga amesema huenda vijana wengi wakakosa kukimu mahitaji

UKATAJI WA MITI KIHOLELA INACHANGIA KUHARIBU MAZINGIRA KANDA YA PWANI Read More »

KENAFF YAITAKA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI KUJENGA BWAWA LA KUHIFADHI MAJI

Shirikisho la kitaifa la wakulima nchini (KENAFF) limeitaka serikali ya kaunti ya Kilifi kujenga bwawa la kuhifadhi maji ya mto sabaki, ili yaweze kutumika katika kilimo. Mwenyekiti wa shirikisho hilo kaunti ya Kilifi Getrude Bahati, anadai maji ya mto huo ni raslimali muhimu inayoweza kutumika kufanikisha kilimo wakati wa ukame iwapo yatahifadhiwa. Bahati aidha amedokeza

KENAFF YAITAKA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI KUJENGA BWAWA LA KUHIFADHI MAJI Read More »