HABARI

KIPCHOGE ASHAURI WAAFRIKA KUCHANGIA WAGONJWA VIUNGO VYA MWILI

Bingwa wa Berlin marathon mwite Eliud Kipchoge ameshauri umma hasa wa barani Afrika kulifikiria kwa uzuri suala la kuchangia viungo vya mwili kwa wahitaji ili kuokoa maisha kama wanavyofanya wenzetu Ulaya. Bingwa huyo wa Olimpiki aliyasema hayo jana wakati akihojiwa na kituo kimoja cha habari jijini Nairobi ambapo alishauri umma ulimwengu unabadilika na sasa muda […]

KIPCHOGE ASHAURI WAAFRIKA KUCHANGIA WAGONJWA VIUNGO VYA MWILI Read More »

NICK MWENDWA KUTANGAZA TAREHE YA KUANZA MSIMU MPYA WIKI HII

Rais wa shirikisho la soka fkf Nick Mwendwa analenga kutangaza tarehe za kuanza arasmi kwa msimu mpya wiki hii, msimu ambao alikuwa amedokeza awali kwamba utaanza mwishoni mwa mwezi huu. Aliyasema hayo katika ujumbe alioachapisha kwenye mtandao wake wa twitter na kuongeza kwa kuwashauri wachezaji, makocha pamoja na washikadau wengine kuzidisha mazoezi wanaposubiri tarehe rasmi

NICK MWENDWA KUTANGAZA TAREHE YA KUANZA MSIMU MPYA WIKI HII Read More »

JACINTA MBEYU ASEMA KUNA HAJA YA MILA NA TAMADUNI ZINAZOKANDAMIZA MTOTO WA KIKE KUTUPILIWA MBALI

Ipo haja ya baadhi ya mila na tamaduni zinazokandamiza maisha ya mtoto wa kike katika jamii kutupiliwa mbali. Haya ni kwa mujibu wa rais wa bunge la vijana kaunti ya Kilifi Jacinta Mbeyu Sanga, ambaye amesema baadhi ya watoto wa kike wamekosa kupata nafasi za kuboresha maisha yao, hasa katika masuala ya uongozi kutokana na

JACINTA MBEYU ASEMA KUNA HAJA YA MILA NA TAMADUNI ZINAZOKANDAMIZA MTOTO WA KIKE KUTUPILIWA MBALI Read More »