REAL MADRID YAISHUSHIA BARCELONA KICHAPO CHA EL CLASICO
Klabu ya Real Madrid kule Uhispania iliitandika klabu ya Barcelona katika mtanange maarufu wa El clasico uliofanyika dimbani Santiago Barnebou uliotamatika kwa vijana na Carlo Ancelloti kuibuka na ushindi wa mabao 3-1. Bao la mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa Karim Benzema, goli la Fede Valverde na lile la kinda wa Brazil Rodrigo katika […]
REAL MADRID YAISHUSHIA BARCELONA KICHAPO CHA EL CLASICO Read More »



