HABARI

SEPP BLATTER AKIRI MAKOSA YA KUIPA QATAR NAFASI YA KUANDAA KOMBE LA DUNIA

Aliyekuwa rais wa shirikisho la soka dunia fifa, Sepp Blatter amekiri kwamba maamuzi ya kamati kuu ya fifa kuipa Qatar nafasi ya kuandaa mashindano ya kombe la dunia ilikuwa makosa. Kamati hiyo mwaka wa 2010 ilipigia kura Qatar kushinda nafasi hyo kwa kura 14-8 ambapo taifa la marekani lilikuwa linangangania nafasi hiyo. Amemlaumu Michael Plattini […]

SEPP BLATTER AKIRI MAKOSA YA KUIPA QATAR NAFASI YA KUANDAA KOMBE LA DUNIA Read More »

EDISON CAVANI NA LUIS SUAREZ KUCHEZA KWA MARA YA MWISHO KOMBE LA DUNIA

Zimesalia siku 11 kabla ya mashindano ya kombe la dunia kuanza rasmi nchini Qatar na sawa na nyota wa Argentina Leonel Messi pamoja na Cristiano Ronaldo wa Ureno kucheza mashindano yao ya mwisho kwenye kombe la dunia mwaka huu, straika wa Uriguay Luiz Suarez pamoja na mwezake Edison Cavani msimu huu watakuwa wanacheza kipute hicho

EDISON CAVANI NA LUIS SUAREZ KUCHEZA KWA MARA YA MWISHO KOMBE LA DUNIA Read More »