HABARI

HUDUMA ZA MATIBABU ZATARAJIWA KUIMARIKA KAUNTI YA TAITA TAVETA

Mikakati mbalimbali inapoendelea kuwekwa na serikali ya kaunti ya Taita Taveta ili kuimarisha maisha ya wenyeji hasa kwenye idara ya afya, tayari mawaziri 6 wa kaunti hiyo wamekabidhiwa ofisi rasmi. Miongoni mwao ni waziri wa afya Gifton Mkaya ambaye amekabidhiwa ofisi hiyo na aliyekuwa waziri wa afya John Mwakima, wakazi wakiwa na matarajio mengi kwa […]

HUDUMA ZA MATIBABU ZATARAJIWA KUIMARIKA KAUNTI YA TAITA TAVETA Read More »

MOHAMED FAKI ATOA WITO KWA SERIKALI KUUNDA JOPO LA KUCHUNGUZA VISA VYA WATU KUULIWA KIHOLELA

Seneta wa kaunti ya Mombasa Mohamed Faki ametoa wito kwa serikali kuu kuunda jopo ambalo litachunguza visa vya watu kuuliwa kiholela na wengine kupotea katika hali tatanishi ili hatua za kisheri dhidi ya wahusika. Amependekeza uongozi wa jopo hilo liwe mikononi mwa maafisa ambao hawako kwenye idara ya usalama ili waathiriwa wa mauaji hayo wapate

MOHAMED FAKI ATOA WITO KWA SERIKALI KUUNDA JOPO LA KUCHUNGUZA VISA VYA WATU KUULIWA KIHOLELA Read More »

KESI ZA KUNAJISIWA WA WATOTO KATI YA UMRI WA MIAKA 16 HADI 18 ZIMERIPOTIWA KWENYE MAHAKAMA YA KILIFI

Hakimu mkaazi mwandamizi katika mahakama ya Kilifi kaunti ya Kilifi Daniel Sitati Sifuma, amesema kesi za kunajisiwa kwa watoto kati ya umri wa miaka 16 hadi 18 zimeripotiwa katika mahakama hiyo kinyume na hapo awali ambapo kesi nyingi zilihusisha watoto wenye umri wa chini ya miaka 10. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa siku ya kuanza

KESI ZA KUNAJISIWA WA WATOTO KATI YA UMRI WA MIAKA 16 HADI 18 ZIMERIPOTIWA KWENYE MAHAKAMA YA KILIFI Read More »