HABARI

ZIWA KENYATTA KAUNTI YA LAMU YAENDELEA KUKAUKA

Baadhi ya wenyeji wa Mpeketoni kaunti ya Lamu wameitaka serikali ya kaunti hiyo kuweka mikakati ya kudhibiti ziwa Kenyatta dhidi ya kukauka kwani hali hiyo inachangia kwa samaki mbalimbali kupungua. Wanasema ziwa hilo limekauka kutokana na kiangazi kinachoendelea kushuhudiwa kutokana na ukosefu wa mvua na pia watu kupora ardhi kandokando mwa ziwa hilo na kufanywa […]

ZIWA KENYATTA KAUNTI YA LAMU YAENDELEA KUKAUKA Read More »

BAADHI YA WABUNGE WA MRENGO WA UPINZANI WAIKSHIFU SERIKALI KUU

Wabunge wa upinzani wameikashifu serikali ya Kenya kwanza pamoja na baraza lake la mawaziri wakisema kuwa bado wako katika kampeni za kisiasa badala ya kuwatekelezea wakenya miradi ya maendeleo. Wakiongozwa na Opiyo Wandayi ambaye ni mbunge wa Ugunja, wabunge hao wamesema kuwa mawaziri hao wanaropokwa kiholela bila ya kuzingatia misingi ya sera na taratibu zilizowekwa

BAADHI YA WABUNGE WA MRENGO WA UPINZANI WAIKSHIFU SERIKALI KUU Read More »

WAZIRI MACHOGU ABADILI MSIMAMO

Waziri wa elimu Ezekiel Machogu amebadili msimamo wake kuhusu mpango wa serikali katika kufadhili vyuo vikuu. Machogu amesema serikali itaendelea kuvifadhili vyuo kwani tayari serikali imetenga shilingi bilioni 50 kwa ajili ya kazi hiyo. Awali,waziri Machogu alijipata matatani baada ya kutangaza kuwa vyuo vitalazimika kutafuta njia mbadala za kuendeleza shughuli zake kwani ufadhili uliokuwepo utaondolewa.

WAZIRI MACHOGU ABADILI MSIMAMO Read More »