HABARI

HIMIZO LATOLEWA KWA WANANCHI NA ASASI ZA SERIKALI KUENDELEA KUDUMISHA AMANI

Wananchi, asasi mbalimbali za serkali na wadau wamehimizwa kuzingatia amani iliyoshuhudiwa kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9 mwaka huu wa 2022. Haya ni kwa mujibu wa afisa kutoka kamati ya utekelezaji wa amani kitaifa benard Gitau ambaye amewapongeza wananchi kwa kuzingatia amani na utulivu kwenye uchaguzi uliokamilika mwezi wa nane. Akizungumza […]

HIMIZO LATOLEWA KWA WANANCHI NA ASASI ZA SERIKALI KUENDELEA KUDUMISHA AMANI Read More »

MADALALI WA BIMA YA AIBK WATAKA MTAALA WA CBC KUIDHINISHA SOMO LA BIMA

Mwenyekiti wa muungano wa madalali wa bima AIBK, Antony Mwangi amesisitiza haja ya mtaala wa elimu wa umilisi CBC nchini kuidhinisha somo la bima kwenye shule za msingi hadi vyuo vikuu. Mwangi amesema kuwa hatua hiyo itawezesha wanafunzi kujua na kuelewa umuhimu wa bima maishani. Mwangi ameyasema haya katika kongamano la 16 eneo la diani

MADALALI WA BIMA YA AIBK WATAKA MTAALA WA CBC KUIDHINISHA SOMO LA BIMA Read More »

RAFAEL VARANE NA KARIM BENZEMA WAITWA NA UFARANSA LICHA YA MAJERAHA

Beki wa Manchster United ambaye anachezea timu ya taifa ya ufaransa ametajwa katika kikosi cha mkufunzi Didier Deschamps licha ya hofu za kwamba alikuwa anaandamwa na jeraha alolipata kwenye mechi ya ligi kuu nchini Uingereza. Nguli mwengine aliyejipatia nafasi katika kikosi cha ufaransa ni Oliviar Geroud ambaye anachezea AC Milan ya Italia kunako ligi ya

RAFAEL VARANE NA KARIM BENZEMA WAITWA NA UFARANSA LICHA YA MAJERAHA Read More »