HABARI

WAZIRI WA UTALII NCHINI PENINA MALONZA AMEAHIDI KUIMARISHA SEKTA KIVUTIO CHA UTALII CHA FORT – JESUS

Waziri wa utalii nchini Penina Malonza ameahidi serikali kuu itahakikisha inaimarisha kivutio cha watalii cha Fort – Jesus sambamba na maeneo mengine ya kitalii yaliyoko kaunti ya Mombasa. Katika taarifa yake kwa waandishi wa habari baada ya kufanya ziara kwenye vituo mbalimbali vya kitalii kaunti ya Mombasa, Malonza amesema hatua hiyo itasaidia kuwavutia watalii zaidi […]

WAZIRI WA UTALII NCHINI PENINA MALONZA AMEAHIDI KUIMARISHA SEKTA KIVUTIO CHA UTALII CHA FORT – JESUS Read More »

WAZAZI MJINI MALINDI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA WALINDA WATOTO WAO

Wazazi wametakiwa kuwalinda watoto wao dhidi ya kujihusisha na mambo maovu wanapokuwa kwenye likizo ndefu ya mwezi wa Disemba. Haya ni kulingana na chifu wa eneo la Malindi kaunti ya Kilifi, Nicodemus Mwayele ambaye amesema watoto wengi, hutumika katika shughuli za ulanguzi wa mihadarati hasa msimu huu wanapokuwa majumbani. Amesema kila mzazi anapaswa kuhakikisha anafahamu

WAZAZI MJINI MALINDI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA WALINDA WATOTO WAO Read More »

MBUGA ZA WANYAMAPORI KAUNTI YA LAMU KUIMARISHWA

Mkurugenzi wa utalii na utamaduni kaunti ya Lamu Ali Ahmed amesema wanapania kuimarisha mbuga za wanyamapori ambazo ziko kwenye kaunti ya Lamu pamoja na utalii wa viumbe wa baharini ili kuwavutia watalii zaidi. Kulingana na Ali utalii wa mbuga bado haujashughulikiwa kikamilifi kama inavyofanyika katika mbuga a Tsavo iliyoko katika kaunti ya Taita Taveta licha

MBUGA ZA WANYAMAPORI KAUNTI YA LAMU KUIMARISHWA Read More »