HABARI

GAVANA WA KAUNTI YA LAMU ISSA TIMAMU AWATAKA WAVUVI WALIOTIWA MBARONI KUACHILIWA HURU.

Gavana wa Lamu Issa Abdallah Timammy ameitaka idara ya mahakama kufutilia mbali mashtaka dhidi ya wavuvi walioshikwa baada ya kunaswa na nyavu zilizopigwa marufuku kutumika. Timammy ameahidi kuwa serikali ya kaunti ya Lamu itawanunulia vifaa vya uvuvi hitajika ila kwanza, ni sharti wavuvi hao waachiliwe huru ili waweze kujiendeleza kiuchumi kupitia shughuli zao za uvuvi. […]

GAVANA WA KAUNTI YA LAMU ISSA TIMAMU AWATAKA WAVUVI WALIOTIWA MBARONI KUACHILIWA HURU. Read More »

NERO CHISHENGA ANAAMINI MSIMU UJAO FURUNZI ITAPATA MAFANIKIO

Mkufunzi mkuu wa kikosi cha Furunzi FC Nero Chishenga wa klabu hiyo ilopanda daraja hadi ligi ya daraja la pili kitaifa amehakikishia mashabiki kwamba wako imara kuelekea msimu ujao. Wikendi hii klabu hiyo iliandaa harambee ya kuchangisha hela za kufadhili mechi zao msimu ujao katika uwanja wao wa furunzi uliopo mjini malindi kaunti ya Kilifi

NERO CHISHENGA ANAAMINI MSIMU UJAO FURUNZI ITAPATA MAFANIKIO Read More »