DIANA CHEMTAI APIGWA MARUFUKU YA MIAKA 6
Bingwa wa mwaka jana wa mashindano ya Boston Marathon Diana Chemtai amepigwa marufuku ya kushiriki mashindano ya riadha baada ya kuwa mkenya wa hivi punde zaidi kupatikana na hatia ya kutumia dawa haramu za kusisimua misuli. Kitengo kinachosimamia uadilifu wa wanariadha kimempa marufuku ya miaka sita kutoshiriki mashindano yoyote kutokana na kutofuata kanuni za taaluma […]
DIANA CHEMTAI APIGWA MARUFUKU YA MIAKA 6 Read More »



