HABARI

SHULE YA MSINGI YA BANDACHO ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI YAANDIKISHA MATOKEO BORA ZAIDI YA KCPE.

Mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya Bandacho kaunti ndogo ya Magarini kaunti hii ya Kilifi, Constance Kanze ameeleza furaha yake baada ya shule hiyo, kuandikisha matokeo bora katika mtihani wa kitaifa wa KCPE. Katika mazungumzo ya kipekee na meza yetu ya habari, mwalimu huyo amesema kuwa jumla ya wanafunzi 17, walipata alama 400 na […]

SHULE YA MSINGI YA BANDACHO ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI YAANDIKISHA MATOKEO BORA ZAIDI YA KCPE. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO AAHIDI KUKABILIANA NA WAFISADI SERIKALINI.

Rais William Ruto amesema kuwa serikali yake itajitahidi kuhakikisha kuwa inapiga vita ufisadi katika idara na afisi mbali mbali za serikali. Akizungumza katika kikao na makamishna wa kaunti zote 47 nchini, Rais amewahakikishia wakuu hao wa idara ya usalama, kuwa kama kiongozi wa taifa, atahakikisha wananchi wananufaika na huduma na misaada mbali mbali, inayotolewa na

RAIS WILLIAM RUTO AAHIDI KUKABILIANA NA WAFISADI SERIKALINI. Read More »

KOMBE LA DUNIA NCHINI QATAR LILINOGA – GIANNI INFANTINO

Mashindano ya dunia ya nchini Qatar ya mwaka huu ndio mashindano yaliyofana zaidi katika historia ya mchezo huo tangu mashindano ya kwanza nchini Uruguay miaka 92 iliyopita. Hiyo ni kulingana na rais wa shirikisho la soka kimataifa la fifamwite Gianni Infantino. Anasema kwamba kwa kipindi cha takriban mwezi mmoja mashabiki kote ulimwenguni wametosheka na burudani

KOMBE LA DUNIA NCHINI QATAR LILINOGA – GIANNI INFANTINO Read More »