JOHN MRUTTU ASEMA MZOZO KUHUSU MIPAKA KATI YA KAUNTI YA TAITA TAVETA NA ZILE ZINAZOPAKANA NA KAUNTI HIYO UNAPASWA KUTATULIWA KISHERIA
Aliyekuwa gavana wa kwanza wa kaunti ya Taita Taveta John Mruttu amesema mzozo kuhusiana na mipaka kati ya kaunti hiyo na zile zinazopakana na Taita Taveta utapata mwafaka kupitia sheria na sio mivutano. Mruttu amesema migogoro hiyo inakumba mipaka ya kaunti ya Taita Taveta, Kajiado, Kwale na Makueni itapata mwafaka iwapo viongozi wa kaunti hizo […]



