HARAKATI ZA KUHAMISHA KICHINJIO CHA MALINDI ZINAENDELEZWA
Serikali ya kaunti ya Kilifi inaendeleza mpango wa kuhamisha sehemu ya kichinjio mjini Malindi, kutokana na hatua ya wanajamii eneo hilo kulalamikia uharibifu wa mazingira katika sehemu hiyo. Kwa mujibu wa baadhi ya viongozi katika eneo bunge la Malindi wamepongeza hatua hiyo huku wakipendekeza sehemu hiyo, sasa kukabidhiwa rasmi wafanyabiashara wa Juakali, ili kuwapa nafasi […]
HARAKATI ZA KUHAMISHA KICHINJIO CHA MALINDI ZINAENDELEZWA Read More »



