BAADHI YA MABAHARIA ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WAENDELELEA KUHANGAIKA
Licha ya jamii eneo la Shella mjini Malindi kaunti ya Kilifi kuchangia pakubwa katika upatikanaji wa ushuru wa kitaifa kupitia kwa raslimali za baharini, baadhi ya mabaharia eneo hilo la Shella wameendelea kupitia changamoto nyingi katika maisha yao. Haya ni kwa mujibu wa mwakilishi wa wadi ya Shella mjini Malindi kaunti ya Kilifi, Twahir Abdulkarim […]
BAADHI YA MABAHARIA ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WAENDELELEA KUHANGAIKA Read More »



