HABARI

TUNAIMANI VIONGOZI WA SASA WATAIMARISHA MICHEZO YA KILIFI – ELLY KATANA

Wadau wa michezo katika kaunti ya Kilifi wameeleza imani yao kwa uongozi wa sasa wa kaunti hiyo wakisema kwamba kuna matumaini michezo huenda ikasonga mbele. Elly Katana ambaye ni mkufunzi mkuu wa kikosi cha Malindi Progressive FC na anasema kwamba michezo ya kaunti hii huenda ikaanza kuinuka kutokana na  viongozi wa serikali  walichaguliwa kuhudumu katika […]

TUNAIMANI VIONGOZI WA SASA WATAIMARISHA MICHEZO YA KILIFI – ELLY KATANA Read More »

HAKI AFRIKA YAZITAKA ASASI ZA USALAMA KUWAKABILI WAHALIFU BILA KUWAHANGAISHA

Mkurugenzi mkuu wa shirika la kutetea haki za kibinadamu la Haki Afrika kaunti ya Mombasa Hussein Khalid amesema sheria inapaswa kuzingatiwa vilivyo katika kuwakabili wahalifu nchini. Hussein amesema ni sharti sheria zilizobuniwa nchini kuzingatiwa licha ya kuwa taifa la Kenya linashuhudia visa vya uhalifu. Amesema haifai kwa maafisa wa usalama kutumia nguvu kupita kiasi wanapokabiliana

HAKI AFRIKA YAZITAKA ASASI ZA USALAMA KUWAKABILI WAHALIFU BILA KUWAHANGAISHA Read More »