HIMIZO LATOLEWA KWA WAZAZI KAUNTI YA KWALE KUWARUHUSU WATOTO WAO WA KIKE KUCHANJWA CHANJO YA HPV
Wenyeji wa kaunti ya Kwale wameshinikizwa kuwaruhusu watoto wao wa kike walio kati ya umri wa miaka 10 hadi 14 wanapata chanjo ya kuzuia saratani ya kizazi ya HPV. Kulingana na waziri wa afya kaunti hiyo ya Kwale, Francis Gwama saratani imeathiri zaidi ya asilimia 40 ya wanawake hivyo kuna haja ya wakaazi wa kaunti […]



