VIJANA WATANO WANOJIHUSISHA NA UHALIFU ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WATIWA MBARONI
Jumla ya vijana watano ambao wanadaiwa kutekeleza visa vya wizi wa kimabavu katika mitaa ya wadi ya Shella na mji wa Malindi kaunti ya Kilifi wametiwa mbaroni. Haya ni kwa mujibu wa naibu chifu wa eneo hilo la Shella Nicodemus Mwayele ambaye amesema idara ya usalama imekuwa ikiendeleza msako dhidi ya magenje ya kihalifu katika […]
VIJANA WATANO WANOJIHUSISHA NA UHALIFU ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WATIWA MBARONI Read More »



