HABARI

SERIKALI YA KAUNTI YA LAMU KUENDELEZA SHUGHULI ZA KUPANGA MIJI YA KAUNTI HIYO

Gavana wa kaunti ya Lamu, Issaa Timamy amesema wanaendeleza shughuli za kupanga upya miji ya kaunti ya Kaunti ya Lamu. Kiongozi huyo amesema kwa sasa wapo maafisa ambao wanazunguka mashinani, ili kufanya vikao vya wananchi kutoa maoni yao kuhusiana na mipangilio ya serikali ya kaunti hiyo. Gavana huyo amesema kuwa mji wa lamu utakuwa na […]

SERIKALI YA KAUNTI YA LAMU KUENDELEZA SHUGHULI ZA KUPANGA MIJI YA KAUNTI HIYO Read More »

IDARA YA USALAMA KAUNTI YA TANA RIVER YATAKIWA KUTUMIA NJIA YA MAZUNGUMZO KUSULUHISHA MIZOZO

Idara ya usalama katika kaunti ya Tana River imetakiwa kutumia njia ya mazungumzo katika kuleta suluhu la mizozo, iliyoko katika kaunti hiyo na kupata suluhu la kudumu. Kwa mujibu wa gavana wa kaunti hiyo Dhado Godana zipo njia nyingi za wananchi kusuluhisha matatizo yanayowakabili, kando na kuwakamata vijana wanaokisiwa kuhusika katika vita kwenye jamii. Akizungumza

IDARA YA USALAMA KAUNTI YA TANA RIVER YATAKIWA KUTUMIA NJIA YA MAZUNGUMZO KUSULUHISHA MIZOZO Read More »

RIPOTI YA WIZARA YA AFYA YAONYESHA IDADI YA VIFO VYA WATOTO KABLA YA KUZALIWA NA BAADA YA KUZALIWA VIMEPUNGUA KILIFI

Idadi ya vifo vya Watoto kabla ya kuzaliwa na hata baada ya kuzaliwa katika kaunti ya Kilifi vimeripotiwa kupungua kwa asilimia kubwa ikilinganishwa na miaka ya nyuma. Haya ni kulingana na ripoti ya utafiti wa serikali kuu kupitia idara ya afya nchini ambayo imebainisha kupungua kwa visa hivyo kutokana na juhudi za akina mama hao

RIPOTI YA WIZARA YA AFYA YAONYESHA IDADI YA VIFO VYA WATOTO KABLA YA KUZALIWA NA BAADA YA KUZALIWA VIMEPUNGUA KILIFI Read More »