HABARI

MALINDI PROGRESIVE YALENGA KUTAFUTA HAKI BAADA YA KUPOKONYWA ALAMA

Klabu ya Malindi Progressive kutoka Malindi, klabu inayocheza ligi ya daraja la kwanza kitaifa yalenga kuanza mchakato wa kutafuta haki baada ya wasimamizi wa mechi yao jana kuisitisha na kupeana alama tatu na mabao mawili kwa wageni Balaji Epz. Kulingana na taarifa zilizofikia Tama La Spoti ni kwamba mechi hiyo ilisimamishwa na wenyeji Progressive kuadhibiwa […]

MALINDI PROGRESIVE YALENGA KUTAFUTA HAKI BAADA YA KUPOKONYWA ALAMA Read More »

GAVANA ANDREW MWADIME ASEMA JITIHADA ZINAWEKWA KUHAKIKISHA KUNA MAJI KAUNTI YA TAITA TAVETA

Serikali ya kaunti ya Taita Taveta inafanya kila jitihada kuhakikisha kuna maji katika kaunti hiyo ili kuwaepusha wenyeji dhidi ya kuhangaika wakisaka maji. Haya ni kwa mujibu wa Gavana wa kaunti hiyo Andrew Mwadime, ambaye anasema kaunti ya Taita Taveta ina mchanga mzuri kwa ajili ya kilimo, lakini changamoto kubwa kwa sasa ni ukosefu wa

GAVANA ANDREW MWADIME ASEMA JITIHADA ZINAWEKWA KUHAKIKISHA KUNA MAJI KAUNTI YA TAITA TAVETA Read More »

NAIBU GAVANA WA KAUNTI YA KILIFI AWAPONGEZA WALIMU AMBAO WANAFUNZI WAO WALIFANYA VYEMA KWENYE MITIHANI YA KITAIFA

Naibu gavana wa kaunti ya Kilifi Flora Chibule amepongeza hatua ya mbunge wa eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi, Amina Mnyazi kuandaa hafla ya kuwazawadi walimu bora baada ya wanafunzi wao kufanya vyema kwenye mitihani ya KCPE na KCSE katika shule za msingi na upili zilizopo eneo bunge la Malindi. Akizungumza katika hafla hiyo

NAIBU GAVANA WA KAUNTI YA KILIFI AWAPONGEZA WALIMU AMBAO WANAFUNZI WAO WALIFANYA VYEMA KWENYE MITIHANI YA KITAIFA Read More »