HABARI

WAPEMBA ELFU 7 KUSAJILIWA KUPATA VITAMBULISHO VYA KITAIFA

Zoezi la kuwasajili wapemba kama kabila la 47 nchini Kenya limeanza katika kaunti ya Kilifi. Zaidi ya wapemba 7,000 wanatazamiwa kusajiliwa kupata vitambulisho katika kipindi cha mwezi mmoja. Katibu wa uhamiaji na huduma za umma nchini Julius Bitok amesema zoezi hilo la Kuwasajili Wapemba litafanyika kwa mwezi mmoja katika kaunti za Mombasa, Kilifi na Kwale […]

WAPEMBA ELFU 7 KUSAJILIWA KUPATA VITAMBULISHO VYA KITAIFA Read More »

MANCITY, FULHAM,, BLACKBURN PAMOJA NA BRIGHTON ZAFUZU ROBO FAINALI FA

Klabu ya Brighton usiku wa kuamkia leo imesajili ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Stock City, Blackburn Rovers wakiitandika Leicester city kichapo cha 2-1. Fulham imeibuka na usindi wa mabao 2-0 dhidi ya LeeDS UNITED NA HATIMAYE Mancity ikiigaragaza Bristal City MABAO 3-0. Kwa matokeo hayo BRIGHTON, Blackburn Rovers pamoja na Fulham zitaungana na Mancity

MANCITY, FULHAM,, BLACKBURN PAMOJA NA BRIGHTON ZAFUZU ROBO FAINALI FA Read More »