TUTAMALIZA VIZURI – ROBERT MATANO
Mkufunzi mkuu wa klabu ya Tusker FC Robert Matano anasema anaimani kubwa kwamba licha ya juhudi za kutetea ubingwa wa ligi kuu ya fkf vijana wake watamaliza katika nafasi nzuri msimu huu. Fundi huyo wa soka amesema kwamba kwa sasa vijana wake wako imara licha ya majeraha yaliyokuwepo, majeraha ambayo yaliwaponza mwanzo wa msimu. Hadi […]
TUTAMALIZA VIZURI – ROBERT MATANO Read More »



