HABARI

BUNGE LA KAUNTI YA KWALE KUJADI MUSWADA WA KUKABILIANA NA DHULUMA ZA KIJINSIASEXUA

Bunge la kaunti ya Kwale limeanza kujadili muswada unaopania kukabiliana na visa vya dhuluma za kijinsia baada ya kuwasilishwa bungeni humo. Mwenyekiti wa kamati ya masuala ya kijinsia Rachel Katisya amesema muswada huo unalenga kuwalinda wanawake na watoto dhidi ya dhulma za kijinsia. Katisya amesema ndani ya mswada huo kuna mapendekezo ya kuitaka serikali kujenga […]

BUNGE LA KAUNTI YA KWALE KUJADI MUSWADA WA KUKABILIANA NA DHULUMA ZA KIJINSIASEXUA Read More »

BAADHI YA VIONGOZI WA KAUNTI YA TANA RIVER WAITAKA SERIKALI KUU KUKATAA MISAADA KUTOKA MATAIFA YA NJE

Naibu kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti ya Tana River Hamid Babusa na mwakilishi wa wadi mteule Lucy Diramo wameitaka serikali kuu kukataa misaada kutoka kwa mataifa ya nje au mashirika ambazo zinakuja na masharti ya kukubali mapenzi ya Jinsia moja. Kauli zao zinajiri baada ya bunge la kaunti ya Tana River kupitisha hoja

BAADHI YA VIONGOZI WA KAUNTI YA TANA RIVER WAITAKA SERIKALI KUU KUKATAA MISAADA KUTOKA MATAIFA YA NJE Read More »

GAVANA ANDULSWAMAD SHARIFF NASSIR AMEAHIDI KUWATETEA WENYEJI WALIOFURUSHWA KATIKA NYUMBA ZA KUPANGA ENEO LA BUXTON

Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir ameahidi kuwatetea wakaazi waliofurushwa katika nyumba za kupanga eneo la Buxton kaunti ya Mombasa. Katika kikao na waandishi wa habari afisini mwake Nassir amesema amewaandikia barua washikadau wote Pamoja na afisa katika idara husika kuhakikisha wanatoa maelezo kamili kuhusiana na ombi lililotolewa na wakaazi wa nyumba hizo.

GAVANA ANDULSWAMAD SHARIFF NASSIR AMEAHIDI KUWATETEA WENYEJI WALIOFURUSHWA KATIKA NYUMBA ZA KUPANGA ENEO LA BUXTON Read More »