UTEUZI WA WACHEZAJI WA KYISA KUFANYIKA MALINDI NA MAGARINI
Uteuzi wa wachezaji watakaowakilisha kaunti ya kilifi katika mashindano ya kitaifa ya Kenya Youth Inter County sports yatakayofanyika kaunti ya Tharaka Nithi mwezi april mwaka huu unaendelea na wikendi ijayo uteuzi huo utafanyika katika eneo bunge la Malindi uwanjani Alaskan, lakini pia eneo bunge la Magarini. Naftal Owino ambaye afisa mkuu wa michezo na talanta […]
UTEUZI WA WACHEZAJI WA KYISA KUFANYIKA MALINDI NA MAGARINI Read More »



