HABARI

UTEUZI WA WACHEZAJI WA KYISA KUFANYIKA MALINDI NA MAGARINI

Uteuzi wa wachezaji watakaowakilisha kaunti ya kilifi katika mashindano ya kitaifa ya Kenya Youth Inter County sports yatakayofanyika kaunti ya Tharaka Nithi mwezi april mwaka huu unaendelea na wikendi ijayo uteuzi huo utafanyika katika eneo bunge la Malindi uwanjani Alaskan, lakini pia eneo bunge la Magarini. Naftal Owino ambaye afisa mkuu wa michezo na talanta […]

UTEUZI WA WACHEZAJI WA KYISA KUFANYIKA MALINDI NA MAGARINI Read More »

HAALAND AWEKA HISTORIA MANCITY IKIIADHIBU RB LEIPZIG KLABU BINGWA ULAYA

Baada ya mshambuliaji wa Manchester City, Erling Braut Haaland kufunga mabao 5 hapo jana kwenye ushindi wa mabao 7-0, ushindi walioupata Man City dhidi ya RB Leipzing kwenye mchezo wa klabu bingwa Ulaya, mshambuliaji huyo raia wa Norway amekuwa mchezaji wa tatu kufunga mabao 5, kwenye mchezo mmoja wa ligi ya mabingwa Ulaya na anaungana

HAALAND AWEKA HISTORIA MANCITY IKIIADHIBU RB LEIPZIG KLABU BINGWA ULAYA Read More »