HABARI

ABABU ABATILISHA UTEUZI WA KAMATI YA TALANTA HELA

Waziri wa michezo  Ababu Namwamba hii leo amebatilisha uteuzi wa kamati ya talanta hela aliyoichagua mwezi February kusaidia masuala ya michezo pamoja na talanta hapa nchini Kenya. Awali kamati hiyo iliyofaa kuhudumu kwa miezi mitatu katika kusaidia makuzi ya talanta pamoja na kuweka mazingira mazuri ya kuhakikisha kwamba wachezaji wa Kenya hawapitii changamoto zaidi hasa […]

ABABU ABATILISHA UTEUZI WA KAMATI YA TALANTA HELA Read More »

ALEX MWALIMU KUENDELEA KUKOSA MECHI ZA YOUNG BULLS

Klabu ya Young Bulls itazidi kumkosa mshambulizi wake nguli Alex Mwalimu mzawa wa Matsangoni kaunti ya Kilifi kutokana na majeraha. Alex aliumia katika mechi ya Mudzini Derby dhidi ya Malindi Progressive ambapo walishinda kwa bao 1-0 mwezi mei. Kwa sasa Young Bulls itakuwa bila mshambuliaji huyo ambaye amewasaidia sana msimu huu katika kusajili matokeo mazuri.

ALEX MWALIMU KUENDELEA KUKOSA MECHI ZA YOUNG BULLS Read More »