HABARI

RASHID ABDALLA SUPER CUP KUNGÓA NANGA KIBINGWA, TIMU 32 KUSHIRIKI

Kipute cha RASHID ABDALLA SUPER CUP chatazamiwa kurindimwa kwa mfumo wa kipekee tofauti na mfumo uliotumiwa katika awamu za awali za michuano hiyo. Akiongea na TAMA LA SPOTI Kaka Zema, ambaye ni mmoja wa wanakamati wanaoandaa ligi hiyo, amesema kwamba toleo hili la nne litachezwa kutumia mfumo wa mashindano ya Klabu Binwa bara Ulaya. “Makala

RASHID ABDALLA SUPER CUP KUNGÓA NANGA KIBINGWA, TIMU 32 KUSHIRIKI Read More »