HABARI

NAIBU WA RAIS PROFESA KITHURE KINDIKI ATAKIWA KUJIUZULU.

Kinara wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka amemtaka naibu wa rais Profesa Kithure Kindiki kujiuzulu baada ya mahakama kusema kuwa uteuzi wake ulikiuka sheria za taifa hili. Kulingana na Kalonzo muungano huo wa upinzani kwa sasa hautambui uwepo kwa naibu wa rais katika taifa hili. Kalonzo katika kikao na waandishi wa habari, amesema kuwa hatua […]

NAIBU WA RAIS PROFESA KITHURE KINDIKI ATAKIWA KUJIUZULU. Read More »

RIGATHI GACHAGWA ATARAJIWA KUZINDUA CHAMA CHAKE WIKI HII.

Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa amesema kuwa atazindua chama chake cha kisiasa wiki hii. Kulingana na Gachagwa chama hicho atakacho tumia kufanikisha agenda yake ya kuwania uras wa taifa hili mwaka 2027. Gachagwa amepinga madai ya kushuhudiwa kwa mgawanyiko katika mrengo wa upinzani huku akiwasisitiza vijana kuhakikisha kuwa wanasajiliwa kuwa wapinga kura. Haya yanajiri

RIGATHI GACHAGWA ATARAJIWA KUZINDUA CHAMA CHAKE WIKI HII. Read More »

MAAAFISA ZAIDI WA NPR WATARAJIA KUTUMWA KAUNTI YA TANA RIVER.

Idara ya polisi nchini imeahidi kuwekaza jitihada zaidi katika suala la kuwahakikishia wananchi wa kaunti ya Tana River usalama wao. Kulingana na inspekta wa polisi nchini Douglas Kanja, idara hiyo itatoa fedha za kuwapa mafunzo maafisa wapolisi katika kitengo cha NPR, ambao watashika doria katika eneo hilo. Akizungumza katika ziara yake kule kaunti ya Tana

MAAAFISA ZAIDI WA NPR WATARAJIA KUTUMWA KAUNTI YA TANA RIVER. Read More »