UKOSEFU WA FEDHA ZA KAUNTI WACHELEWESHA UJENZI WA HIFADHI YA WAATHIRI WA DHULMA ZA KIJINSIA KAUNTI YA KWALE.
Ukosefu wa fedha za kutosha kwenye bajeti ya kila mwaka ya serikali ya kaunti ya Kwale, ndiyo chanzo cha serikali hiyo kushindwa kufanikisha ujenzi wa maeneo ya kuhifadhi waathiriwa wa dhulma za kijinsia. Haya ni kulingana na waziri wa masuala ya jamii na talanta kaunti hiyo Francisca Kilonzo, hifadhi hizo ni paswa kujengwa katika eneo […]



