HABARI

LOOKMAN AZUNGUMZIA FURAHA YA BALLON DOR 2024

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Nigeria Ademola Lookman ameeleza kufurahishwa kwake na kutajwa kwenye orodha ya mwisho ya wanariadha 30 watakaowania tuzo la Ballon Dor mwaka huu Lookman ndiye mwafrika pekee katika orodha hiyo mwaka huu na raia wa Nigeria wa nane kuwahi kuingia katika orodha hiyo. Lookman amekuwa na mafanikio makubwa msimu uliopita […]

LOOKMAN AZUNGUMZIA FURAHA YA BALLON DOR 2024 Read More »

ALIYEUA AFARIKI

Dickson Ndiema, mwanamume anayedaiwa kumchoma moto mwana Olimpiki wa Uganda Rebecca Cheptegei, na kusababisha kifo chake, amefariki kutokana na majeraha ya moto pia katika hospitali ya Eldoret. Ndiema wiki moja ilopita alimwagia mafuta ya petrol Cheptegei na kumwasha moto jambo ambalo lilimfanya kufariki dunia masaa machache badae kutokana na Mwanariadha huyo wa kike kuungua asilimia

ALIYEUA AFARIKI Read More »