Kitaifa

CHECHE BADO ANAIMANI NA JUNIOR STARLETS KWENYE MECHI YA KESHO

Kocha wa timu ya taifa ya Junior starlets Mildred Cheche anasema bado anaimani na kikosi chake na kuwa wataandikisha matokeo mazuri hiyo kesho kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Mexico Cheche anasema Jr starlets katika mashindano haya ya Kombe la Dunia kwenye taifa hilo la Dominican Republic wamekutana na timu zenye Upinzani mkubwa jambo ambalo […]

CHECHE BADO ANAIMANI NA JUNIOR STARLETS KWENYE MECHI YA KESHO Read More »

WAWANIAJI TISA WA FKF WAKUBALIWA KUWANIA URAIS

Wagombea wote 9 katika uchaguzi mkuu ujao wa Fkf wameidbinishwa na kamati ya uchaguzi kuendeleza kampeni baada ya ukaguzi wa stakabadhi zao. Wawaniaji hao walisalimisha stakabadhi zao kandanda house Jumatatu wiki jana na kamati ya uchaguzi imethibitisha kuwa wamepita vigezo vyote vya kupigania urais wa Fkf. Wagombea hao tisa ambao ni pamoja na Hussein Mohamed

WAWANIAJI TISA WA FKF WAKUBALIWA KUWANIA URAIS Read More »