JUNIOR STARLETS HATIMAYE YASAJILI USHINDI WA KWANZA KWENYE KOMBE LA DUNIA
Kocha wa timu ya taifa ya Harambee Jr Starlets mwite Mildred Cheche anasema amefurahishwa na jinsi wasichana wake walijituma kupatia Kenya ushindi wa kwanza katika ngazi ya Kombe la Dunia. Akizungumza baada ya ushindi wa alama tatu licha ya kuwa Junior starlets imetmwa katika mashindano hayo kwa kupoteza mechi mbili anasema ipo haja ya wachezaji […]
JUNIOR STARLETS HATIMAYE YASAJILI USHINDI WA KWANZA KWENYE KOMBE LA DUNIA Read More »



