Kitaifa

WANYONYI ATOA WITO KWA SERIKALI KUHUSU NDONDI

Daniel Wanyonyi ambaye ni bondia wa Kenya anayesubiri kuvaana na mpinzani wake Karim Mandonga wikendi ijayo ametoa wito kwa serikali kuwa na usawa katika kukuza vipaji. Amesema kwamba mchezo wa ndondi nchini umebezwa sana na serilali kiasi kwamba mabondia wanajihisi kutengwa. Ameshauri wadhamini kuingilia kati suala hilo ili kusaidia mchezo huo kupata hamasa hata zaidi […]

WANYONYI ATOA WITO KWA SERIKALI KUHUSU NDONDI Read More »

NAMTAYARISHIA MANDONGA NGUMI YA KIKENYA – DANIEL WANYONYI

Bondia wa Kenya Daniel wanyonyi  amemuonya mpinzani wake karim mandonga  bondia kutoka Tanzania kwamba anamnyamazisha mdomo wake kabisa pindi wakikutana ulingoni katika pigano la marudinao jumamosi ijayo.  Mwezi machi mwaka huu katika pigano la kwanza Mandonga alipata ushindi dhidi ya Wanyonyi lakini safari hii mwenyeji amekataa katakata kupoteza mechi katika ardhi ya nyumbani.  Wanyonyi amesema

NAMTAYARISHIA MANDONGA NGUMI YA KIKENYA – DANIEL WANYONYI Read More »