GOR MAHIA KUTOCHEZA MASHINDANO YA CAF
Ni rasmi sasa kuwa Gor Mahia haitashiriki katika mashindano ya kimataifa ya CAF Champions League msimu wa mwaka 2023/2024 licha ya kuibuka mabingwa wa ligi ya FKF hapa nchini Kenya. Mchana wa leo dro ya mashindano hayo imefanywa katika makao makuu ya CAF jijini Cairo katika taifa la Misri na Gor Mahia imekosa nafasi katika […]
GOR MAHIA KUTOCHEZA MASHINDANO YA CAF Read More »



