SIKU YA KWANZA YA DOLA SUPER CUP VYUMA VYAKAZA
Kocha wa timu ya Malindi A inayoshiriki katika mashiondano ya Dola Super Cup Hemed Ibrahim amewapongeza vijana wake kwa mchezo wao mzuri baada ya kusajili sare ya bao 1-1 katika mechi ya ufunguzi dhidi ya Kilifi North wikendi ilopita. Akizungumza na Tama la Spoti Hemed anasema vijana wake walionyesha kiwango bora licha ya kupoteza nafasi […]
SIKU YA KWANZA YA DOLA SUPER CUP VYUMA VYAKAZA Read More »



