Kitaifa

HUSSEIN MOHAMMED KUPIGANIA URAIS WA FKF

Naibu mwenyekiti wa klabu ya Muranga Seal Hussein Mohamed amethibitisha kuwa atakuwa kwenye debe la uchaguzi mkuu ujao wa FKF utakapofanyika hapa nchini. Kati ya masuala ambayo Mohamed ameyapa kipaumbele kwenye kulibadilisha soka la Kenya ni kuinua hadhi ya viwanja lakini pia kujenga viwanja vipya hasa kwa wachezaji mashinani. Mohamed amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa

HUSSEIN MOHAMMED KUPIGANIA URAIS WA FKF Read More »