Kaunti

WAPEMBA ELFU 7 KUSAJILIWA KUPATA VITAMBULISHO VYA KITAIFA

Zoezi la kuwasajili wapemba kama kabila la 47 nchini Kenya limeanza katika kaunti ya Kilifi. Zaidi ya wapemba 7,000 wanatazamiwa kusajiliwa kupata vitambulisho katika kipindi cha mwezi mmoja. Katibu wa uhamiaji na huduma za umma nchini Julius Bitok amesema zoezi hilo la Kuwasajili Wapemba litafanyika kwa mwezi mmoja katika kaunti za Mombasa, Kilifi na Kwale […]

WAPEMBA ELFU 7 KUSAJILIWA KUPATA VITAMBULISHO VYA KITAIFA Read More »

WITO UMETOLEWA KWA TALANTA ZA MASHINANI KUTAMBULIWA

Wito umetolewa kwa viongozi wa michezo kuingia mashinani zaidi kutambua na kukuza talanta za vijana katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Akizungumza na Tama la Spoti baada ya mashindano ya soka yaliyokuwa yanatumika kuzindua mradi wa kusambaza injili na shirika la Youth For Christ Kenya mjini marafa katika uwanja wa Polytechnic, mkurugenzi mkuu

WITO UMETOLEWA KWA TALANTA ZA MASHINANI KUTAMBULIWA Read More »

SUALA LA USHOGA NA USAGAJI LAZIDI KUIBUA HISIA MSETO MIONGONI MWA VIONGOZI WA DINI YA KIISLAMU MALINDI

Baadhi ya Viongozi wa dini ya kiislamu eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi wametoa wito kwa Wakenya, kujitokeza na kupinga mapenzi ya watu wa jinsia moja kuoana. Wakiongozwa na aliyekuwa mwenyekiti wa Malindi Supreme Council Sheik Salim Omar Juma, ametaja mapenzi hayo kuwa kinyume cha maadili ya dini hiyo na kusema Mungu hulaani kila

SUALA LA USHOGA NA USAGAJI LAZIDI KUIBUA HISIA MSETO MIONGONI MWA VIONGOZI WA DINI YA KIISLAMU MALINDI Read More »