ALI WARIO GUYO AWASHAURI WENYEJI WA TANA DELTA KUTHAMINI KILIMO NYUNYIZI
Mbunge wa Garsen kaunti ya Tana River Ali Wario Guyo, amewashauri wakaazi wa Tana Delta kuthamini kilimo nyunyizi kama mbinu ya kukabiliana na baa la njaa. Guyo amesema upanzi kupitia kilimo nyunyizi utaimarisha uzalishaji wa chakula ikizingatiwa kwamba hali ya kiangazi imesababisha kuadimika kwa mvua. Aidha Guyo amewakosoa baadhi ya makundi ambayo yalipewa mitambo ya […]
ALI WARIO GUYO AWASHAURI WENYEJI WA TANA DELTA KUTHAMINI KILIMO NYUNYIZI Read More »



