Kaunti

MAAFISA WA EACC KANDA YA PWANI KASKAZINI WAMTIA MBARONI AFISA ANAYEFANYA KAZI KATIKA SERIKALI YA KAUNTI YA TANA RIVER

Maafisa wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC kanda ya pwani kaskasini wakishirikiana na maafisa wa polisi wamefaulu kumtia mbaroni afisa mmoja wa kaunti ya Tana River katika uwanja wa ndege wa Malindi kaunti ya Kilifi akiwa na shilingi milioni mbili na laki saba. Akithibitisha kukamatwa kwa afisa huyo meneja wa tume […]

MAAFISA WA EACC KANDA YA PWANI KASKAZINI WAMTIA MBARONI AFISA ANAYEFANYA KAZI KATIKA SERIKALI YA KAUNTI YA TANA RIVER Read More »

ANSELM MWADIME AWATAKA WAZAZI KATIKA KAUNTI YA TAITA TAVETA KUWAJIBIKIA MAJUKUMU YAO YA ULEZI KWA WATOTO WAO

Wazazi kaunti ya Taita Taveta wametakiwa kuhakikisha wanawajibikia majukumu yao ya ulezi kama vile kuhakikisha watoto wao wanapata haki ya elimu. Ni wito uliotolewa hasa kwa wazazi ambao watoto wao wanafadhiliwa na serikali ya kaunti kuhakikisha ada ndogondogo zinazotolewa shuleni haziwi sababu ya watoto wao kukosa masomo. Kwa mujibu wa naibu spika wa bunge la

ANSELM MWADIME AWATAKA WAZAZI KATIKA KAUNTI YA TAITA TAVETA KUWAJIBIKIA MAJUKUMU YAO YA ULEZI KWA WATOTO WAO Read More »

VISA VYA MATATIZO YA KIAFYA VINAENDELEA KUATHIRI BAADHI YA VIJANA KANDA YA PWANI

Idadi kubwa ya visa vya matatizo ya kiafya kwa baadhi ya wenyeji wa Pwani, vimechangiwa zaidi na suala la wao kushauriwa kutotumia madawa wamapougua. Haya ni kwa mujibu wa afisa katika shirika linalohusika na masuala ya kudhibiti magonjwa mbalimbali nchini la NATIONAL SYNDEMIC DISEASES CONTROL COUNCIL, Ezekiel Mwabili  ambaye amesema wagonjwa wengi wamekuwa wakipotoshwa na usharui

VISA VYA MATATIZO YA KIAFYA VINAENDELEA KUATHIRI BAADHI YA VIJANA KANDA YA PWANI Read More »